Simba Yashusha Kocha Mpya Mbrazil

Simba Yashusha Kocha Mpya Mbrazil

Sports / 3rd January, 2023




Klabu ya Simba imemtambulisha aliyekuwa kocha wa Vipers, Mbrazil Robertinho Oliveira (69) kuwa kocha mpya wa  Klabu hiyo, na atararajia kuaanza kukinoa kikosi hicho mara moja baada ya kutambulishwa.



Utambulisho huo unafuatia siku chache mara baada ya kocha huyo kujiuzulu kwenye klabu yake ya Vipers aliyoipeleka hatua ya mkundi ya klabu bingwa Afrika.