General
NMB YAFUTURISHA WABUNGE NA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM
Tunapoendelea na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Benki ya NMB imepata nafasi ya kujumuika na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na watoto wenye mahitaji maalum Dodoma kupata futari ya pamoja.
Related News