Waliopata ajira Wizara ya Afya

Waliopata ajira Wizara ya Afya

General / 1st July, 2022


WIZARA ya Afya imetoa orodha ya watumishi walioitwa kazini kufuatia waombaji wa ajira za kada za afya zilizotangazwa kwenye tovuti ya wizara ajira.moh.go.tz tarehe 16 Aprili, 2022 hadi tarehe 03 Mei, 2022.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Juni 30, 2022 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,Prof. Abel N. Makubi ambapo amefafanua kuwa, hatua hiyo imefikiwa baada ya zoezi la uchambuzi wa maombi ya kazi yaliyopokelewa kukamilika.

BOFYA HAPA KUTAZAMA MAJINA