Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Aikaeli
Mbowe.
Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga
Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi a haki.
Mhe. Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuonesha kwake kuiali
huku akikubali kuwa msingi mkubwa wa kujenga taifa la Tanzania ni
kusimama katika haki
Vile vile, amesema wamekubaliana kufanya siasa za kistaarabu na za
kiungwana na kuwa yuko tayari kushirikiana na Serikali katika kuleta
maendeleo ili nao pia waweze kutekeleza majukumu yao ipaswavyo.